1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda: Rais Museveni kuwania tena urais mwaka 2016

10 Februari 2014

Wabunge wa chama tawala nchini Uganda kwa kauli moja wanamtaka kiongozi wa chama chao ambaye pia ni rais wa nchi hiyo Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwania urais tena kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka wa 2016.

https://p.dw.com/p/1B6Ip
Rais Yoweri Museveni wa Uganda
Rais Yoweri Museveni wa UgandaPicha: Imago

Rais Museveni amekuwa mamlakani kwa kipindi cha miaka 28. Mwandishi wetu wa Kampala Leylah Ndinda na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Leyla Ndinda

Mhariri: Saumu Yusuf

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi