Ujerumani yasamehe madeni Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo27.06.200727 Juni 2007Ujerumani imesaini mkataba wa kurudisha uhusiano wa kifedha na nchi ya Kongo.https://p.dw.com/p/CHC9Mji wa Kinshasa,Jamhuri ya Kidemokrasi ya KongoPicha: Alexander GöbelMatangazoAidha Ujerumani imeifutia nchi hiyo madeni ya kiasi cha Euro milioni 80 kama anavyotuarifu mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo kutoka Kinshasa.