1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ukosefu wa Chakula kaskazini mwa Uganda

28 Machi 2007

Shirika la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa WFP limesema hali ya watu walioko kwenye za Kaskazini mwa Uganda huenda ikawa mbaya kutokana na ukosefu wa chakula.

https://p.dw.com/p/CHHO
Watu wakisubiri kupatiwa chakula na Shirika la Mpango wa Chakula WFP
Watu wakisubiri kupatiwa chakula na Shirika la Mpango wa Chakula WFPPicha: AP
Mwandishi wetu Omar Mutasa kutoka Kampala ametuletea ripoti zaidi.