1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umeme wa kudumu bado donda-ndugu Afrika ya Mashariki

6 Julai 2011

Licha ya ahadi kadhaa za serikali za Afrika ya Mashariki kulimaliza tatizo la umeme nchini humo, hadi leo nchi za eneo hilo zingali zinaishi kwa upungufu mkubwa wa umeme na, hivyo, kuchangia kuzirudisha nyuma kiuchumi.

https://p.dw.com/p/RY1a
Majenereta yanapokuwa kimbilio kwa umeme
Majenereta yanapokuwa kimbilio kwa umemePicha: DW/ Adrian Kriesch

Othman Miraji anajadiliana na wataalamu wa masuala ya nishati kutoka Afrika ya Mashariki juu ya kiini cha tatizo la umeme kwenye eneo hilo na njia zinazoweza kulitatua, wakizingatia ukweli kuwa bila ya umeme wa uhakika na wa kudumu, hakuwezi kuwa na maendeleo.

Mtayarishaji: Othman Miraji