1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Mataifa - UN

Umoja wa Mataifa ni chombo kinachonuwia kuendeleza ushirikiano baina ya mataifa. Shirika hilo lilianzishwa Oktoba 24, 1945 kuchukuwa nafasi ya Shirikisho la Mataifa, lililoshindwa kuzuwia vita kuu vya pili vya dunia.