1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upinzani Kenya waendelea na maandamano

Sylvia Mwehozi
13 Oktoba 2017

Rais Donald Trump anatarajiwa kutangaza kujitoa katika makubaliano ya kimataifa ya mpango wa nyuklia. Israel nayo imejiondoa shirika la UNESCO. Wafuasi wa upinzani Kenya waendeleza maandamano licha ya kupigwa marufuku. Papo kwa Papo 13.10.2017.

https://p.dw.com/p/2lndf