1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasiwasi visiwani Zanzibar

26 Oktoba 2015

Ikiwa kura zinaendelea kuhesabiwa visiwani Zanzibar, Mohammed Khelef alizungumza na kamishna wa polisi Zanzibar Mkadam Mkadam kufuatia ripoti kwamba watu watatu wamepigwa risasi na kujeruhiwa vibaya hapo jana.

https://p.dw.com/p/1GuSE
2015 Tansania Parlamentswahlen Demonstration
Picha: DW/M. Khelef

[No title]