1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Utumiaji wa mitandao ya kijamii katika vyombo vya habari

Khelef Mohammed Mohammed20 Juni 2016

Majadiliano ya Kinagaubaga kati ya mwandishi wa DW Mohammed Khelef na Tom Japani, Mkurugenzi wa Redio Maisha nchini Kenya juu ya changamoto za utumiaji wa mitandao ya kijamii, katika vyombo rasmi vya habari.

https://p.dw.com/p/1J9s1