1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

4 Januari 2017

Uturuki yasema mashambulizi yanayofanywa na serikali ya Syria yatahatarisha mazungumzo ya amani ya mwishoni mwa mwezi. Mkuu wa tume ya uchaguzi ya Gambia akimbilia Senegal kwa kuhofia maisha yake. Na, mwanamuziki maarufu, Janet Jackson, ajifungua mtoto wake wa kwanza akiwa na umri wa miaka 50.

https://p.dw.com/p/2VGXz