Vijana Mchakamchaka: Kufifia kwa umashuhuri wa mastaa chipukizi
Matangazo
Kwa nini wanamuziki wengi wanaong'ara kwenye mashindano ya kutafuta wasanii chipukizi huporomoka mara tu baada ya kumalizika kwa mashindano hayo? Ni kosa la wanamuziki wenyewe, waandaaji au watengeneza muziki?
Stumai George kwenye Vijana Mchakamchaka anaangazia sababu za kuporomoka kwa wanamuziki chipukizi wanaoibuliwa na mashindano ya kutafuta wasanii bora Afrika Mashariki.