1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana na Ubunifu wa Mitindo

Elizabeth Shoo16 Machi 2015

Katika miaka ya hivi karibuni vijana wamejiingiza katika tasnia ya mitindo kwa lengo la kuwa wataalamu na washauri wa mitindo ili kuleta muonekano tofauti kwa watu.

https://p.dw.com/p/1ErUW
Afrikanische Mode Kiki Kamanu
Picha: ARISE magazine

Kipindi cha Vijana Mchaka Mchaka kitaangalia zaidi ni kwa nini vijana sasa wameamua kujiingiza katika tasnia ya ubunifu wa mitindo? Na zipi changamoto wanazokumbana nazo katika kazi yao ya mitindo?

Ili kufahamu mengi kuhusu mada hiyo, ungana na Grace Kabogo katika makala ya Vijana Mchaka Mchaka.

Kusikiliza makala hii bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.