1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viwanda vidogo vidogo vyainua maisha DRC

14 Septemba 2011

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, viwanda vidogo vidogo vinakuwa na kukuza kiwango cha maisha ya Wakongomani na pia kuongeza mapato kwa serikali yao.

https://p.dw.com/p/RlaU
Chupa zikisanifiwa upya nchini DRC
Chupa zikisanifiwa upya nchini DRCPicha: DW / Irene Anastassopoulou

Katika makala hii ya Mapambazuko Afrika, John Kanyunyu, anazungumzia namna ambavyo sekta ya viwanda vidogo vidogo inavyotanuka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na namna viwanda hivyo vinavyoyabadili maisha ya watu.

Mtayarishaji: John Kanyunyu
Mhariri: Othman Miraji