1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waasi wa FDLR wagoma kwenda kwenye makazi mapya

Samia Othman14 Agosti 2014

Wapiganaji wa kundi la waasi la FDLR wa Rwanda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekataa kwenda Kisangani.

https://p.dw.com/p/1CtNW
Wapiganaji wa FDLR mashariki mwa Kongo.
Picha: DW/S. Schlindwein

Waasi hao wamekuwa wakisubiriwa kuondoka maeneo ya Kivu kwenda Kisangani kwa muda sasa. Mwandishi wetu John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Beni. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za maskioni hapo chini.

Mwandishi: John Kanyuyu

Mhariri:Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi