1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waasi wataka mazungmzo

9 Desemba 2007

---

https://p.dw.com/p/CZPn

NJAMENA:

Kundi kuu la waasi nchini Chad liliwapa pigo kali vikosi vya serikali,kimeitaka austria kuandaa mkutano wa amani-hii ni kwa muujibu wa gazeti la kila wiki la Austria-Profil lilivyoarifu.

Jamadari Brahim Djidda kutoka Umoja wa vikosi vinavyopigania demokrasi na maendeleo (UFDD) amemuandikia waziri wa ulinzi wa austria akiutaka Umoja wa Ulaya kuchangia mno kutatua mgogoro nchini Chad.