1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wahouthi wasema wamemuua Ali Abdallah Saleh

Mohammed Khelef
4 Desemba 2017

Waasi wa Kihouthi mjini Sanaa wanasema wamemuua kiongozi wa zamani wa Yemen, Ali Saleh, Rais Donald Trump wa Marekani bado hajaamua rasmi kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel na huko DRC, Human Rights Watch yasema serikali iliwatumia waasi wa zamani kuwavamia na kuwashambulia waandamanaji wanaompinga Rais Joseph Kabila. Papo kwa Papo 4.12.2017.

https://p.dw.com/p/2ojIy