1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wakwama katika kambi ya Calais

10 Julai 2015

Italia inakabiliwa na mzigo mzito kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi na inawapeleka katika mataifa mengine bila kuwasajili. Kwa njia hiyo maelfu ya wakimbizi wako njiani katika nchi za Ulaya - bila kusajiliwa kama wakimbizi. Wengi wanataka kuingia Uingereza lakini nchi hiyo inaifunga mipaka yake.

https://p.dw.com/p/1FwCU