1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Warsha wa Heinrich-Böll Stiftung nchini Kenya

1 Juni 2007

Ikiwa imesalia miezi sita kabla ya uchaguzi wa rais na wa bunge nchini Kenya, viongozi wa makundi mbalimbali ya wanawake nchini humo yameanza kuandaa mikutano na warsha za kuwaelimisha wanawake kuhusu umuhimu wa uongozi kwenye nchi na serikali.

https://p.dw.com/p/CHDJ
Kutoka Nairobi, Mwai Gikonyo ametuandalia taarifa ifuatayo.