1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watu wa mashariki mwa Afrika wakabiliwa na uhaba wa chakula

Samia Othman11 Agosti 2014

Zaidi ya watu milioni 14 katika eneo la mashariki mwa Afrika wanahitaji msaada wa chakula kutokana na uhaba wa mvua na mizozo mbalimbali, miaka mitatu tangu kutokea ukame uliokithiri kwenye ukanda huo.

https://p.dw.com/p/1CsOD
Ukame wasababisha uhaba wa chakula mashariki mwa Afrika
Picha: picture-alliance/dpa

Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloratibu utoaji wa misaada ya kibinaadamu-OCHA, mashariki mwa Afrika, Matthew Conway amesema hali ni ya mashaka. Grace Kabogo amezungumza na Mratibu wa Ushirikiano wa OCHA, Luluwa Ali, ambaye kwanza anaanza kuelezea jinsi shirika hilo lilivyojiandaa kukabiliana na tatizo hilo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Grace Patricia Kabogo

Mhariri: Josephat Charo