1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Watuhumiwa wa ugaidi nchini Somalia

13 Aprili 2007

Balozi wa Somalia nchini Ethiopia,Abdukarin Farah amesema serikali yake itawaachia huru watuhumiwa 29 wa ugaidi kutoka mataifa mbali mbali ambao sasa wako chini ya ulinzi wa serikali ya Ethiopia,Addis Ababa.

https://p.dw.com/p/CHGM
Somalia, tishio la kigaidi
Somalia, tishio la kigaidiPicha: AP
Mwandishi wetu Anaclet Rwegayura anaripoti zaidi kutoka Addis Abeba.