1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Winnie Mandela

Winnie Madikizela-Mandela, OLS, anaejulikana pia kama Winnie Mandela alikuwa mwanaharakati wa kupinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini na mke wa zamani wa rais wa kwanza mweusi wa taifa hilo hayati Nelson Mandela.