1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wito wa wanawake kuwa na madaraka zaidi nchini Tanzania

30 Mei 2007

Wabunge wanawake katika bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wamepewa changamoto kuwa kusimamia hoja zinazotetea maslahi ya wananchi ni muhimu kuliko kuangalia maslahi ya vyama vyao.

https://p.dw.com/p/CHDW

Akizungumza na wabunge hao wanaokutana mjini Bagamoyo, waziri mkuu mstaafu na mwanasiasa anayeheshimiwa nchini Tanzania, Jaji Joseph Warioba, alisema kutanguliza maslahi ya wananchi itawajengea umaarufu wabunge wanawake.

Mwandishi wetu Christopher Bhuke amehudhuria mkutan huo na ametutumia ripoti ifuatayo.