1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ZEC yasema imejiandaa vya kutosha

15 Septemba 2015

Tume ya Uchaguzi visiwani Zanzibar inasema kila kitu kimewekwa sawa, ili zoezi la uchaguzi visiwani humo liendeshwe kwa uwazi na kwa amani.

https://p.dw.com/p/1GWly
Tansania Wahlen Anhänger CUF
Picha: DW/M. Khelef

Dotto Bulendu anazungumza na Kamishna wa tume hiyo Haji Ramadhan Haji, kuhusiana na maandalizi ya uchaguzi huo.

Bonyeza alama ya kisikilizio kusikia mahojiano kati ya Dotto Bulendu na Hajji Ramadhani Hajji.