"Njia za kijeshi si njia ya kuifumbua hali ya Libya" amesema hayo waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Guido Westerwelle akiwa ziarani Beijing.
Sikiliza Taarifa ya Habari asubuhi ya leo hapa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken hii leo ameitolea wito nchi yake na Marekani kuzikabili tofauti zao "kwa kuzingatia uwajibikaji" wakati akianza ziara yake nchini China.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema maafisa wake watakutana hii leo na wajumbe wa serikali ya Niger mjini Niamey kujadili juu ya kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger.