1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.04.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S1 Aprili 2020

Kenya: Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa wa COVID-19 kupona/ Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa raia wengi wa mataifa ya Afrika wataathirika pakubwa kutokana na hatua za dharura/ Uchaguzi nchini Ethiopia ni wa kwanza mkubwa barani Afrika kuahirishwa kwa sababu ya virusi vya corona/ Sierra Leone: Serikali imeamua kuwaruhusu wasichana wajawazito au wenye watoto kuendelea na masomo

https://p.dw.com/p/3aJos