1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.04.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S1 Aprili 2021

Kutoka eneo kame la Sahel hadi katika rasi ya Sinai na sasa Msumbiji, Afrika inadhihirisha kuwa eneo linalopendelewa na makundi ya itikadi kali/ Jamii ya WaYazidi imesema sheria mpya ya kuwasaidia wanawake wa jamii hiyo haitoshelezi kuwalinda/ Barua kutoka Dar/ Wakoloni Wajerumani walisambaratisha falme za Cameroon, lakini Njoya Ibrahim aliweza kuulinda ufalme wake

https://p.dw.com/p/3rTI5