Siku ya UKIMWI duniani/ Maswala mengi yameibuka nchini Israel kufuatia mauaji ya hivi karibuni ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran/ Nchini Zimbabwe wataalamu wanasema makaburi ya halaiki ya watu waliouawa yanazidi kugundulika/ Barua kutoka Dar/ Congo: Watu wanaoishi na ulemavu mkoani kivu ya kaskazini wameilaumu serikali kwa kutowasidia katika kuboresha miundo mbinu