1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.03.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S2 Machi 2021

Wanafunzi 279 waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru// Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Makamo wa kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman Ikulu mjini Zanzibar// Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mkutano wa Kitaifa wa Maaskofu wa Kongo (CENCO) umeonya kuwa raia hawatavumilia uchaguzi kuahirishwa.

https://p.dw.com/p/3q5vT