1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.05.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S2 Mei 2019

Iran imeukosoa mpango wa Marekani wa kulioorodhesha kundi la Udugu wa Kiislamu kuwa ni kundi la kigaidi// Rais wa Marekani ameyapiga marufuku kabisa mataifa mengine kununua mafuta ya Iran kuanzia jana Mei Mosi// Msimu wa kiangazi mwaka 2018, Ethiopia na Eritrea zilitiliana saini makubaliano ya kihistoria ya amani na kufungua mipaka ya nchi hizo mbili.

https://p.dw.com/p/3Hnsb