Uchambuzi: Mauaji ya George Floyd ni ukumbusho pia juu ya ubaguzi dhidi ya watu weusi barani Ulaya/ China imeapa kuwa italipiza kisasi hatua ya rais Donald Trump wa Marekani ya kuwawekea izuizi wanafunzi wa China walio katika vyuo vikuu nchini Marekani/ Tanzania: Baadhi ya wazazi wamekuwa na hofu ya kuwapeleka watoto wao kwenye huduma za kliniki kwa kuhofia kupata maambuzi ya virusi vya corona