1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.12.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S2 Desemba 2020

Rais wa Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen amekamilisha mwaka mmoja tangu aliposhika wadhifa huo/ Senegal imesifiwa katika juhudi zake za kukabiliana na janga la Corona. Hata hivyo mbinu iliyofanikisha hali hiyo inasababisha mgawanyiko miongoni mwa wataalam/ Macron anakabiliwa na shinikizo kwa kubadili mkondo wa siasa kuelekea mrengo wa kulia

https://p.dw.com/p/3m6LZ