1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.12.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S2 Desemba 2021

Ulimwengu waadhimisha siku ya kupambana na Ukimwi+++Tanzania imeanzisha mkakati wa ufuatiliaji wa kina kwa wanaokutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi+++Libya inahesabu chini ya mwezi mmoja iingie kwenye uchaguzi mkuu+++Karibu Wakenya 89 wamekufa katika mataifa ya Ghuba, zaidi ya nusu yao wakiwa wafanyikazi wa nyumbani wa kike.

https://p.dw.com/p/43jWz