Familia na watu wa karibu wa mpinzani wa Rwanda Paul Rusesabagina, anaeshikiliwa tangu siku Jumatatu mjini Kigali,wanasema alitekwa nyara mjini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu// Baada ya mwaka mzima wa kupapasa gizani akitafuta ujumbe wa kuendeshea kampeni yake, hatimaye Rais Donald Trump amepata kaulimbiu ya ''Utulivu na Kutii Sheria''.