Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Kenya// Wiki iliyopita rais Mahmoud Abbas alitangaza kuahirisha uchaguzi mkuu katika mamlaka ya wapalestina// Nigeria- Rais Muhammadu Buhari anakabiliwa na shinikizo kutoka kwa washirika na maadui zake kutokana na kile kinachoonekana kuwa ameshindwa kukabiliana na changamoto za kiusalama katika taifa lake