Mji wa Dar es Salaam wapata mkuu mpya, Aboubakar Kunenge/ DRC: Juhudi za kusaka utulivu wa Kivu Kaskazini zaendelea/ Kenya: Wafanyibiashara wa miraa wameilaumu serikali ya jimbo lililojitenga la Puntland nchini Somalia kwa kuirejesha ndege iliyokuwa imebeba bidhaa hiyo kwa madai ya kukiuka masharti ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19/ WHO yautaka ulimwengu kupambana vikali na COVID-19