1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.11.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S4 Novemba 2019

Tanzania: Vyama vya upinzani vimelalamika juu ya kile wanachokiita mchezo mchafu wanaofanyiwa baadhi ya wagombea wao/ Jaji Mkuu nchini Kenya ameukemea muhimili wa serikali kwa kupunguza bajeti kwenye idara ya mahakama/ Hali ya wasiwasi miongoni mwa waandishi wa habari na wahudumu wa afya katika Mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa Congo/ Lebanon: Waandamanaji wamezifunga njia kadhaa mjini Beirut

https://p.dw.com/p/3SRrj