Wagombea wa uchaguzi Kenya na kampeni za mwisho +++Wachambuzi: Kitendo cha Rwanda ni pigo kwa mchakato wa amani DRC+++Rais Vladimir Putin wa Urusi amemwambia mwenzake wa Uturuki ana matumani ya kufanikisha utilianaji saini makubaliano ya kukuza biashara na uchumi baina ya mataifa hayo mawili+++China yafutilia mbali ushirikiano na Marekani kutokana na mzozo wa Taiwan