1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.09.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S5 Septemba 2018

Mkutano wa siku mbili wa kilele kati ya China na Afrika umemalizika jana mjini Beijing, baada ya majadiliano marefu ya marais na viongozi wa serikali huku Rais wa Senegal Macky Sall akiteuliwa kuwa mwenyekiti mwenza wa ushirikiano wa Afrika na China kwa kipindi cha miaka mitatu akichukua nafasi ya Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa.

https://p.dw.com/p/34K4B