1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

05.10.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S5 Oktoba 2021

Tanzania: Mwenyekiti wa baraza la wazee la Chadema bado anashikiliwa na polisi/ Ripoti ya uchunguzi juu ya unyanyasaji wa kingono nchini Ufaransa: Tulitaka kusikia kutoka kanda ya afrika mapadri wenyewe wanasemaje?/ Rais wa Tanzania ameleekeza kupunguzwa kwa tozo zinazotozwa na taasisi mbalimbali katika bidhaa ya nishati ya mafuta/ Viongozi wa EU kujadili ulinzi,China na Marekani

https://p.dw.com/p/41IdD