Iran imetangaza kukiuka makubaliano ya mkataba wa nyuklia/ Marekani kujiondoa rasmi makubaliano ya tabia nchi ya Paris/ Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania anatimiza miaka 4 tangu aingie madarakani/ Wakati Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake, majeshi ya kanda pamoja na vyombo vya usalama yanazidi kujenga ushirikiano katika masuala ya usalama