Tanzania: Maadhimisho ya wiki ya sheria/ Kisumu, Kenya: Mgomo wa wauguzi katika hospitali za umma/ Amnesty International limeishutumu Umoja wa Falme za kiarabu kuyapa silaha makundi ya wapiganaji yanayoshutumiwa kufanya uhalifu wa kivita nchini Yemen/ Viongozi wa dunia wameahidi kutokomeza ukeketaji ifikapo mwaka 2030