1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.05.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S6 Mei 2021

Leo wakaazi wa Scotland wanapiga kura kwenye uchaguzi wa bunge ambao chama tawala cha SNP kinataka kuutumia kama ruhusa ya kuandaa kura mpya ya maoni// Bara la Afrika linapambana kutafuta chanjo wakati hatua ya marufuku ya chanjo ya India ikiliumiza bara hilo// Mji wa Palma nchini Msumbiji bado umo katika hali ya taharuki na mamia ya wakaazi wake wanaukimbia mji huo kila siku.

https://p.dw.com/p/3t1tA