1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.01.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S7 Januari 2021

Dunia imeshtushwa na vurugu zilizotokea katika majengo ya bunge mjini Washington, Marekani, baada ya wafiuasi wa rais wa nchi hiyo anayeondoka mamlakani, Donald Trump kuyavamia majengo hayo// Wakenya watahitajika kukaza mikanda zaidi ili kupata huduma za mitandaoni baada ya kodi ya huduma za dijitali kuanza kutekelezwa kuanzia tarehe mosi mwaka huu.

https://p.dw.com/p/3nckL