Kumekuwa na utata nchini Uturuki baina ya chama tawala cha AKP na chama cha upinzani cha CHP kufuatia kufutiliwa mbali kwa ushindi wa Meya wa Istanbul// Waandishi wawili wa habari wa shirika la habari la Reuters waliokuwa kizuizini nchini Myanmar wamechiliwa huru hii leo// Katika visiwa vya Komoro serikali imetoa uamuzi wa kukata asilimia 10 ya mshahara wa kila mtumishi wa serikali.