1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.06.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Juni 2021

Uganda: Maagizo ya kudhibiti corona yachanganya umma/ Viongozi wa Marsabit walaumiwa kufadhili machafuko/ Vyama viwili vya upinzani katika jimbo la Somaliland lililojitenga na Somalia, vimeshinda kwa wingi wa viti katika uchaguzi wa kwanza wa bunge ndani ya kipindi cha miaka 16 > Mahojiano/ CDU wapata ushindi mkubwa Saxony-Anhalt/ Burkina Faso yaomboleza waliouwawa na magaidi mwishoni mwa juma

https://p.dw.com/p/3uWkT