Wachezaji wa timu ya kulipwa ya mpira wa magongo katika barafu nchini Urusi wote wamekufa katika ajali ya ndege iliyotokea jana huko Urusi
Sikiliza Taarifa ya Habari asubuhi ya leo hapa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken hii leo ameitolea wito nchi yake na Marekani kuzikabili tofauti zao "kwa kuzingatia uwajibikaji" wakati akianza ziara yake nchini China.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema maafisa wake watakutana hii leo na wajumbe wa serikali ya Niger mjini Niamey kujadili juu ya kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger.