1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.10.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S8 Oktoba 2021

Kamati ya Nobel imewatangaza waandishi habari Maria Ressa wa Ufilipino, na Dmitry Muratov wa Urusi kuwa washindi wa tuzo ya amani ya Nobel kwa mwaka huu wa 2021+++Mahakama ya juu kabisa ya katiba ya Poland imetoa hukumu inayoonyesha baadhi ya sheria za Umoja wa Ulaya haziendani na katiba ya Poland+++Ofisi ya Umoja wa Mataifa yenye dhima na haki za binadamu imeonesha wasiwasi kwa jeshi la Myanmar.

https://p.dw.com/p/41SQ5