Nchini Kenya rais na naibu wake wanajiandaa kuongezewa asilimia 3.9 ya mshahara// Kijana Mdude Nyagali, shabiki na mfuasi wa chama cha upinzani nchini Tanzania amepatikana leo katika eneo la Inyala, Mbeya vijijini// Mwili wa marehemu Dr Reginald Abraham Mengi uko katika kanisa la Kiinjili la Kiliuteri Tanzania, KKKT, usharika wa Moshi kwa ibada ya mwisho kabla kuzikwa baadaye leo.