Tanzania: Mahakama-sheria ya uchaguzi inayowapa uhalali wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi ni batili// Kenya: Majaji watatu wa mahakama kuu wanaandamwa na tuhuma za kutumia madaraka vibaya// Miaka 25 baada ya kumalizika mfumo wa ubaguzi wa rangi na mtengano Apartheid nchini Afrika Kusini, kila kitu kiko kama kilivyokuwa.