Baada ya Bayern kubeba taji lao la tisa mfululizo la Bundesliga, macho sasa yaelekezwa katika vita vya kufuzu nne bora na kuepuka kushuka daraka // Simba yageukia sasa mchuano wao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaiser Chiefs baada ya mtangane na watani wao Yanga kupigwa kalenda// Na bado kuna wingu la sintofahamu kuhusu Michezo ya Olimpiki ya Tokyo