1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.08.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Agosti 2017

Makundi ya waangalizi sita yameelezea kuwa mchakato wa uchaguzi nchini Kenya ulikuwa huru, wazi na wa haki siku mbili baada ya wakenya kushiriki uchaguzi huo// Picha jumla ya kile kinachoendelea hadi sasa katika ukumbi wa kujumlishia matokeo wa Bomas mjini Nairobi//Na huko katika Kaunti ya Nakuru, mtafaruku unaoshuhudiwa katika kuyajumlisha matokeo ni hali inayozua taharuki baina ya wananchi.

https://p.dw.com/p/2i0YX